Samatta, akikabiliana na beki katika mazoezi
Mbwana Samatta, tayari akifanya majaribio na timu ya CSKA Moscow ya nchiniUrusi.Mbwana amekosa kucheza mechi ya kwanza ya majaribio na Klabu hiyo baada ya kuumua Enka wakati akiwa kwenye mazoezi na timu hiyo, ambapo hata hivyo iliibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo huo wa kirafiki.Hata hivyo Samatta, anatarajia kutua uwanjani kesho endapo atakuwa fiti kwa mujibu wa daktari wa timu hiyo, kwa ajili ya mechi ya pili ya kirafiki dhiti ya timu yake na FSV Frankfurt..
No comments:
Post a Comment