Wezesha

kama una maoni au habari tafadhali tutumie kwa kupitia email yetu.shanellally@gmail.com

Tuesday, 13 January 2015

SUGU APATA AJALI



Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) amepata ajali akiwa na wenzake wanne ndani ya gari wakitoka Mbeya kuelekea Dar, ajali hiyo imetokea eneo la Kitonga, Iringa eneo ambalo lina kona kali za barabara.
hakuna mtu aliyefariki wala kupata majeraha makubwa ila Mbunge huyo ana michubuko midogo midogo, Kamanda wa Polisi Iringa, Ramadhani Mungi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment