Wezesha

kama una maoni au habari tafadhali tutumie kwa kupitia email yetu.shanellally@gmail.com

Friday, 8 May 2015

DAR YAZAMA

Mafuriko yalojaa pande zote za jijini Dar es salaam yanazidi kuleta taharuki na kuwaacha watu wengi wakihangaika na makazi hasa wale wanaoishi mabondeni,hata hivyo kuna ripoti kuwa watu 8 wameshapoteza maisha kutokana na mvua hizi na miundo mbinu ikiendelea kuharibiwa vibaya .




No comments:

Post a Comment